Thursday, January 29, 2015

UWANJA wa Real madrid kubadilishwa jina


Uwanja wa Timu ya Real Madrid

UWANJA  wa Real Madrid wa Santiago Bernabeu huenda ukabilidishwa jina ikiwa ni miongoni mwa makubaliano ya ufadhili wa yuro millioni 500.

MTOTO wa miaka nane ahojiwa na Polisi



MTOTO  mwenye umri wa miaka 8 ahojiwa na polisi nchiniUfaransa kwa nusu saa Jumatano baada ya madai kwamba alitoa matamshi ya kuwasifu magaidi akiwa shuleni.

KUKOSEKANA kwa njia mbadala za umaskini wakipato wachangia uharibifu wa Misitu Kilosa


Magunia ya mkaa yakiwa sokoni

WAKAZI  wa  kataya Kisanga,tarafa yaMikum iwilayani Kilosa, mkoa wa Morogorowamesema kuwa ukataji miti ovyo unachangaia na ukosefu wa njia mbadala za kupambana na umaskiniwakipato toka Serikali ya kijiji na Halmashauri ya wilaya.

SERIKALI yakumbushwa kuwajali wakulima kupitia katiba pendekezwa


Mkulima wa muwa akiwa shambani
SERIKALI imeshauriwa kutathmini kwa kina mapendekezo ya katiba pendekezwa hasa katika kipengele cha wakulima kwa kuweza kuwatafutia masoko ya mazao. 

WATUMISHI wilayani Kilombero washajishwa ujasiriamali


Mkuu wa wilaya ya Kilombero Hassan Masala (kulia)
WATUMISHI wa umma Halmashauri ya wilaya ya Kilombero wametakiwa kutumia fursa zinazowazunguka  ili kuongeza kipato.

Tuesday, January 27, 2015

REAL Madril yasaini mkataba na NSSF kujenga na kuendesha kituo cha michezo nchiini TANZANIA



Mkurugenzi mkuu wa NSSF DK Ramadhan Dau(kushoto) na Rayco Garcia wakisaini mkataba 
KLABU  tajiri duniani, Real Madrid ya Uhispania imesaini hati ya makubaliano na Shirika la hifadhi ya Jamii Tanzania (NSSF) kwa ajili ya kujenga na kuendesha kituo cha michezo kitakachogharimu Shilingi bilioni 16.

DRC yatinga robo fainali AFCON


Wachezaji wa DRC

JAMHURI  ya Kidemokrasia ya Kongo imekuwa timu pekee kutoka ukanda wa Afrika Mashariki na Kati kusonga hatua ya hatua ya robo fainali ya michuano Kombe la Mataifa ya Afrika baada ya kutoka sare ya goli moja kwa moja na Tunisia.

UMOJA wa Afrika wataka hatua za dharula kuchukuliwa kudhibiti boko Haramu


                  Bi. Nkosazana Dlamini-Zuma

UMOJA wa Afrika AU umesisitiza juu ya kuweko udharura wa kuchukuliwa hatua za pamoja za kukabiliana na kundi la kigaidi la Boko Haram la nchini Nigeria.

CHIKAWE alitaka jeshi la polisi nchini kupanga mikakati kudhibiti uhalifu



Waziri wa mambo ya ndani Mathias Chikawe

WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ametahadharisha juu ya kuongezeka kwa mitandao ya uhalifu wa kimataifa na ugaidi.

ULANGA waomba msaada wa uwezeshwaji toka FCS



Jengo la Halmashauri ya Ulanga, Morogoro

WANANCHI wilayani Ulanga,  waiomba Shirika la Foundation For Civil Society kuzipa kipaumbele AZAKI zenye lengo la kutoa elimu  ya uraia wilayani humo ili kufahamu haki na wajibu. 

Thursday, January 22, 2015

AFCON;Tunisia yaichapa Zambia



Wachezaji wa Tunisia

TUNISIA  ilichukua fursa ya kushindwa kwa Zambia kufunga mabao ya wazi ilipotoka nyuma na kuishinda miamba hiyo ya Chipolopolo 2-1.

AJUZA wa miaka 90 ahudhuria masomo



Ajuza Priscilla akiwa darasani

MWANAMKE wa Kenya  mwenye umri wa miaka 90 ambaye anahudhuria masomo akiwa na wajukuu zake wapatao sita inaaminika ndiye mwanafunzi mzee zaidi anayesoma shule ya msingi duniani.

MFALME wa Saudia afariki dunia


Mfalme wa Saudia kulia

MFALME wa Saudia Abdullah bin Abdulaziz amefariki dunia akiwa hospitalini

WANANCHI watoa maoni yao kuhusu katiba pendekezwa


Majengo ya Halmashauri ya Ulanga, Morogoro
BAADHI ya wadau wa maendeleo wilayani Ulanga mkoani Morogoro wamesema hawatakubali kuwaburuzwa na serikali kuikubali katiba pendekezwa mwezi Aprili kwani wamebaini kuwa serikali imegundua kuwa katiba hiyo inakasoro.

Saturday, January 17, 2015

MAZINGIRA Institute of Tanzania ya Mlimba , Kilombero yawatka wakazi wilayani humo kutunza misitu


Maporomoko ya mto Kihansi wa Kilombero, Morogoro

UKOSEFU wa elimu kwa wadau mbalimbali wa mapambanao dhidi ya mabadiliko tabia nchi ni miongoni mwa mambo  yanayochangia harakati za uhifadhi wa misitu asili kutofanikiwa.

WAKALA wa misitu nchini Tanzania watakiwa kuziwezesha Taasisi za Mazingira


WAKALA wa misitu nchini (TFS)umetakiwa kuwawezisha Taasisi na mashirika mbalimbali yanayojishughulisha na uhifadhi na usimamizi wa misitu

Friday, January 16, 2015

SHIRIKISHO la soka barani Africa latangaza chanjo



CHAMA cha soka cha Africa (CAf) kimetangaza kufanyika kwa vipimo vya ugonjwa wa ebola katika michuno ya kombe la Mataifa ya Afrika.

NIGER yapiga marufuku kusambaza nakala za gazeti la Charlie Hebdo


Rais wa Niger

WAISLAMU duniani wakiendelea kulaani hatua ya kuvunjiwa tena heshima Mtume Mtukufu Muhammad SAW na gazeti la vibonzo la Ufaransa

POLISI Ulaya wawakamata washukiwa wa Ugaidi



POLISI katika nchi kadhaa barani Ulaya wamewakamata washukiwa kadhaa wenye iktikadi kali za kidini katika misako iliyofanywa usiku kucha.

UTATA waibuka kati ya CCM na wafanyabiashara manispaa ya Morogoro


HOFU ya kuibuka vurugu baina ya wafanya biashara wenye vibanda eneo la Uwanja wa sabasaba na uongozi wa chama cha mapinduzi CCM Manispaa ya Morogoro.

MKUU wa wilaya ya Mvomero awataka wabakaji kujisalimisha


Mkuu wa wilaya ya Mvomero Anthony Mtaka
MKUU wa wilaya ya Mvomero Anthon Mtaka amewataka wabakaji na wazazi wanaowakatisha masomo watoto kike chini ya miaka 18 kutafuta mapori ya kukimbilia.

Saturday, January 10, 2015

FABREAGAS apinga Messi kuihama Barcelona



Mess (kushoto) na Fabregas (kulia)

MCHEZAJI wa kiungo cha kati katika kilabu ya Chelsea Cesc Fabregas anaamini kwamba Lionel Messi hataondoka katika kilabu ya Barcelona.

MSICHANA wa miaka kumi ajilipua nchini Nigeria



MLIPUAJI  wa kujitolea muhanga amejilipua katika soko moja katika mji wa kazkazini mashariki wa Maiduguri nchini Nigeria.

RAIS Rouhan wa Iran ampokea Rais wa Venezuela


Rais wa Iran kushoto akiwa na mgeni wake

RAIS wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran leo asubuhi amempokea  katika Ikulu ya Saad Abad Rais Nocolaus Maduro Moros wa Venezuela.

ELIMU duni ni kikwazo kwa wadau wa mazingira kupitia sekta ya misitu



Misitu ya asili wilayani Kilombero

UKOSEFU wa elimu kwa wadau mbalimbali wa mapambanao dhidi ya mabadiliko tabia nchi ni miongoni mwa mambo n yanayochangia harakati za uhifadhi wa misitu asili kutofanikiwa.

Friday, January 9, 2015

YAYA Toure mchezaji bora wa mwaka


YAYA Toure mchezaji wa Manchester City

KIUNGO  wa timu ya Manchester City Yaya Toure amekuwa mchezaji wa kwanza kutajwa na shirikisho la soka barani Afrika kuwa mchezaji bora wa mwaka kwa mwaka wanne mfululizo

YANGA yaaga kombe la Mapinduzi


Kikosi  cha Yanga 

YANGA  imeng'oka katika michuano ya Kombe la Mapinduzi baada ya kufungwa bao 1-0 na JKU.

ISRAEL haina ubavu wa kijeshi wa kuipiga Iran


Ehud Barak

Ehud Barak Waziri Mkuu wa zamani wa utawala wa Kizayuni wa Israel amesema kuwa, utawala huo hauna uwezo wala nguvu za kupambana kijeshi na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

UMOJA wa Mataifa walaani mashambulizi dhidi ya Albino


Albino wakiwa katika maeneo ya kujihami

UMOJA  wa Mataifa umekemea wimbi la mashambulizi dhidi ya Watu wenye ulemavu wa ngozi, Albino, baada ya tukio la kutekwa kwa mtoto wa miaka minne mjini Mwanza, kaskazini magharibi mwa Tanzania.