KIASI cha asilimia 35 ya
watoto nchini Tanzania wanaripotiwa kuwa na upungufu wa Vitamin A, jambo
linaloathiri maendeleo ya kiafya na ukuwaji na hivyo kusababisha mashaka
wanapokuwa watu wazima.
Utafiti uliofanywa na wizara ya afya
nchini Tanzania kwa kushirikiana na Taasisi ya chakula na lishe nchini
umefafanua kuwa sababu zinazochangia ni
mila potofu kwa baadhi ya akinamama, elimu duni na umaskini uliopita viwango

No comments:
Post a Comment