Monday, July 28, 2014

WAISLAMU sehemu mbalimbali duniani washeherekea sikukuu ya idel fitri


Waislamu wakiswali katika viwanja vya Jangwani jijini Daresalaam

WAISLAMU katika sehemu mbalimbali duniani leo wanasherehekea sikukuu ya Id el Fitr.

Waislamu wanasherekehea sikukuu ya idi el fitr baada ya mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhan, ambayo ni moja ya nguzo tano muhimu za dini ya kiislamu.
Katika baadhi ya nchi waislamu wanasherekea katika hili ya utulivu, sehemu nyingine wanasherekea wakati nchi zao zinakumbwa na changamoto mbalimbali.
Hamisi Xie anatueleza zaidi Waislamu nchini Tanzania wanasherehekea sikukuu ya Idd el Fitr wakati rais wa nchi hiyo Jakaya Kiwete ametoa mkono wa Idd kwa baadhi ya watu wa makundi ya watu wasiojiweza kwenye jamii ya Tanzania

No comments:

Post a Comment