Saturday, August 2, 2014

MACHUNGWA yaoza sokoni Buguruni kwa kukosa soko


Wafanyabiashara wa  machungwa soko la Buguruni
KUKOSEKANA kwa soko la uhakika wa zao la machungwa huenda kukapunguza uzalishaji wa zao hilo sanjari na wafanyabiashara wengi wa zao hilo kujitoa.

Uchunguzi uliofanywa na mbiu ya Maendele o katika soko la Buguruni lililopo Manispaa ya Ilala jijini Dar es salaam ulishuhudia tani za kadhaa za machungwa yaliyoharibika na kuoza kutokanana  uhaba wa soko la uhakika.
Wakiongea na mwandishi wa habari wa Mbiu ya Maendeleo baadhi ya wafanyabiashara wa machungwa katika soko la Buguruni  walisema kuwa , hali hiyo inasababishwa na uchace wa viwanda vya kununua zao hilo linalozalishwa kwa wingi hapa nchini

No comments:

Post a Comment