Saturday, August 2, 2014

MJADALA wa katiba waunguruma leo Ubungo Plaza


Rais Jakaya Kikwete akihutubia Bunge la katiba
MJADALA  wa katiba unaendelea leo katika ukumbi wa Ubungo Plaza jijini Dar es salaam katika kuangalia mustakabali bunge la katiba.

 Wajumbe wa bunge  la katiba  toka vyama vya upinzani vya CUF, CHADEMA NA NCCR MAGEUZI  maarufu kama  Ukawa  wakitangaza kutoshiriki kikao cha bungela katiba linalotarajiwa kuanza jumanne agust 5 kwa madai ya bunge hilo kuendeshwa kwa kufuata taratibu za chama tawala.
Mjadala huo utaongozwa na mwanahabari nguli hapa nchini Jenerali Ulimwengu  ambapo utaanza saa nane mpaka saa kumi jioni .













No comments:

Post a Comment