![]() |
| Wafanyabiashara wa muhogo wakiwa sokoni |
MBINU hafifu za
kuwashawishi wakulima wa zao la muhogo wa mikoa ya Lindi na Mtwara imetajwa
kuwa ni miomgoni mwa mambo yanayochangia umaskini wa kipato katika mikoa hiyo.
Wakulima wa zao la muhogo toka
mkoani Mtwara wameeleza hayo mapema jana katika mahojiano maalum na
waandishi wa habari wakati
wakisheherekea siku ya wakulima nchini maarufu kama nanenane .
Wamesema watafiti wa zao hilo
wanaeleza kuwa ekari moja ya muhogo inazalisha shilingi kumi na tano elfu za kitanzania
, lakini umaskini wa kipato kwa wakazi wengi wa mikoa ya Mtwara na Lindi ni
kiwango cha juu pamoja na kuwepo kwa mazingira mazuri ya kuzalisha zao hilo.

No comments:
Post a Comment