Friday, August 8, 2014

VITA na UKAME ndio chanzo cha njaa barani Afrika



SHIRIKA la chakula na kilimo duniani (FAO) limeeleza kuwa zaidi ya watu milioni 150 barani Afrika wanakabiliwa na njaa sugu(chronic hunger) kutokana na sababu mbalimbali lakini kunwa zikiwa ni vita na ukame.

Katika ripoti yao ya hali ya chakula na kilimo duniani  ya mwaka 2012,wataaalamu hao wa kilimo na uchumi toka FAO wameeleza kuwa katika nchi za jangwa  la sahahra hali ni mbaya zaidi kutokana bna sababu kuu mbili zilizotajwa hapo juu   
Mbali na hayo lakini sera mbovu na utawala mbovu wa serikali nyingi za Afrika katika kutoa kipaumbele katika kuboresha kilimo sanjari na kuwawezesha wakulima ni miongoni mwa mambo yanayochangia hali hiyo.

No comments:

Post a Comment