Friday, August 8, 2014

ASILIMIA 80 ya theluthi ya mlima Kilimanjaro yatoweka


Sehemu ya Mlima Kilimanjaro

WATAALAMU wa mazingira wameeleza kuwa  asilimia 80 ya theluji ya mlima Kilimanjaro imetoweka kutokana na mabadiliko ya tabia  nchi yanayosababishwa na shughuli za kibinadamu.

Wataalamu hao wameeleza hayo mapema jana mjini Moshi , mkoani  Kilimanjaro wakati wakiongea na waandishi wa habari kuhusu mkutano wa kimataifa wa watalaamu wa sayansi ya mazingira unaotarajiwa kufanyika mwishobni mwa mwezi August.
Wamesema njia pekee ya kukabiliana na hali hiyo ni kuzuia ujkataji wa mito na kudhibiti vyanzo vya maji vilivyopo kando yam lima huo mkubwa barani Afrika sanjari na kuendesha kampeni maalum ya upandaji wa miti inayohifadhi mazingira.





No comments:

Post a Comment