![]() |
| Rais Barack Obama |
RAIS wa Marekani Barrack Obama ametangaza mpango wake wa
kuwatuma wanajeshi 3,000 Afrika
Magharibi kama njia mojawap ya kusaidia katika vita dhidi ya ugonjwa hatari wa
Ebola.
Rais Obama ametoa wito kwa jamii ya kimataifa kuchukua hatua za dharura kuzuia kuenea kwa ugonjwa wa Ebola Magharibi mwa Afrika ambao unaenea kwa kasi sana.
Bwana Obama amesema kuwa iwapo mlipuko wa maradhi hayo haukomeshwi kwa sasa, mamia ya maelfu ya watu wataambukizwa na yatakuwa tishio kwa usalama wa dunia.

No comments:
Post a Comment