Wednesday, September 17, 2014

WANANCHI wilayani Kilosa wampongeza Rais Kikwete



Rais Kikwete akiongea na wananchi wa Kilosa

ZOEZI la ugawaji wa viwanja kwa waathirika wa mafuriko ya mwaka 2011 wilayani Kilosa mkoa wa Morogoro limeanza wilayani humo huku baadhi ya wananchi wakimpongeza Raisi Jakaya Mrisho Kikwete.

Pongezi hizo za wananchi aho kwa Raisi  Kikwete  ni kutokana na uongozi wa wilaya kukalia agizo la rais kwa muda mrefu la kuwagawia  wananchi aho maeneo ya viwanja vya kuishi kutokana na nyumba zao kuharibiwa na mafuriko.
Wakiongea na Mbiua ya Maendeleo Media Group , wananchi hao wamesema  eneo la njia pandaya Kwenda Ilonga ambapo wanagaiwa viwanja hivyo kwaajili ya makazi mapya ni eneo zuri ambalo linafaa na halina maji.
 .

No comments:

Post a Comment