![]() |
| Balozi wa China nchini Tanzania kulia |
SERIKALI YA CHINA imeahidi kushirikiana na Serikali ya
Tanzania katika miradi ya maendeleo ikiwemo kutoa
fursa za nafasi za masomo na ajira kwa wanafunzi
wanaohitimu elimu ya juu katika vyuo vikuu vya
Tanzania .
Hayo yameelezwa na meneja wa kampuni ya Linghang
group ya nchini China profesa Daniel
Chieh wakati akizungumza na wanafunzi wa
chuo kikuu cha Mzumbe katika semina maalumu ya mahusiano
baina ya china na chuo hicho.
Katika semina hiyo Profesa Chieh alisema China ipo tayari
kutoa fursa kwa vijana wapendao kushiriki na kusoma fan
mbalimbali nchini mwao ikiwa ni hatua mojawapo ya kuwajengea
uwezo masuala ya elimu na ajira.
Makamu mkuu wa chuo cha mzumbe Prof Joseph Kuzilwa alisema
ushirikiano huo utaanzisha mfuko maalumu wa kuwajengea uwezo
wanafunzi nchini katika sekta mbalimbali zikiwemo za
ujasiliamali sekata ambayo ni nguzo ya maendeleo China.
Aidha aliwataka wanafunzi kutobweteka na msongamano wav yeti
kwenye makabati badala yake watumie muda mwingi kutafsiri
elimu wanazopata vyuoni katika maisha yao ya kilasiku kama
ilivyo tokea kwa wasomi nchini China.
Tanzania katika miradi ya maendeleo ikiwemo kutoa
fursa za nafasi za masomo na ajira kwa wanafunzi
wanaohitimu elimu ya juu katika vyuo vikuu vya
Tanzania .
Hayo yameelezwa na meneja wa kampuni ya Linghang
group ya nchini China profesa Daniel
Chieh wakati akizungumza na wanafunzi wa
chuo kikuu cha Mzumbe katika semina maalumu ya mahusiano
baina ya china na chuo hicho.
Katika semina hiyo Profesa Chieh alisema China ipo tayari
kutoa fursa kwa vijana wapendao kushiriki na kusoma fan
mbalimbali nchini mwao ikiwa ni hatua mojawapo ya kuwajengea
uwezo masuala ya elimu na ajira.
Makamu mkuu wa chuo cha mzumbe Prof Joseph Kuzilwa alisema
ushirikiano huo utaanzisha mfuko maalumu wa kuwajengea uwezo
wanafunzi nchini katika sekta mbalimbali zikiwemo za
ujasiliamali sekata ambayo ni nguzo ya maendeleo China.
Aidha aliwataka wanafunzi kutobweteka na msongamano wav yeti
kwenye makabati badala yake watumie muda mwingi kutafsiri
elimu wanazopata vyuoni katika maisha yao ya kilasiku kama
ilivyo tokea kwa wasomi nchini China.

No comments:
Post a Comment