Wednesday, September 3, 2014

WAKAZI wa Kilombero waipongeza Taasisi ya mazingira ya MAI



WANANCHI wa tarafa ya Mlimba, wilayani Kilombero wameipongeza Taasisi  Mazingita Institute of Tanzania  yenye makao yake makuu wilayani Kilombero, Mkoa wa Morogoro kwa jitihada zake za kutunza ma kuhifadhi mazingira katika maendeo mbalimbali yanayozubnguka wilayani za Kilolo na Mufindi ,mkoani  Iringa , na wilaya ya Wanging’ombe  mkoa wa Njombe.

Wakiongea na Mbiu ya Maendeleo katika mji mdogo wa Mlimba wilayani humo , baadhi ya wananchi wamesema kuwa , Taasisi ya MAI inafanya shughuli mbalimbali za uhifadhi na utunzaji wa mazingira ikiwemo kupanda miti, kutunza vyanzo vya maji, kutoa elimu ya kilimo rafiki wa mazingira, uchomaji wa mkaa na  na ukataji wa miti, ufukaji wa nyuki n.k

No comments:

Post a Comment