![]() |
Nkurunzinza akiapishwa leo |
Sherehe hiyo imefanyika kwa mshangao mkubwa kwa kuwa rais Nkurunziza alitarajiwa kuapishwa wiki ijayo.
Takriban watu 10 wameuawa tangu Nkurunziza atangaze mnamo mwezi Aprili kwamba atawania muhula wa tatu wa urais.
Serikali inaushtumu upinzani ambao unasema kuwa muhula huo ni kinyume na sheria kwa kuzua ghasia.
Umoja wa Afrika,muungano wa Ulaya na
wizara ya maswala ya kigeni ya Marekani wote wameonyesha wasiwasi wao kwamba
uchaguzi huo wa mwezi Julai haukuwa huru na wa haki.
No comments:
Post a Comment