Wednesday, January 6, 2016

SERIKALI yatoa siku 14 kwa mgodi wa Buckreef kuanza uzalishaji

Waandishi wa habari wakiwa katika eneo la mgodi 
Kampuni ya uchimbaji dhahabu ya Buckreef  ya  Geita, Mkoani Geita imepewa siku kumi na nne  kuanza uzalishaji  la sivyo wataandikiwa hati ya makosa na Afisa madini mkazi wa mkoa wa   Geita.


Hayo yamebainishwa maepama leo na  Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Dkt. Medard Kalemani alipotembelea eneo la mgodi huo ili kujionesha shughuli mbalimbali zinazofanywa na kampuni hiyo.

No comments:

Post a Comment