Shirika
hilo limefafanua kuwa watu 14,003
wameugua kutokana na ugonjwa huo nchini Tanzania .
Hata
hivyo WHO imesema kuwa Mwanzoni wa mwezi wa Januari, Tanzania ilikuwa mojawapo
ya nchi 11 zilizopewa chanjo kutoka kwa WHO.
.Hata
hivyo, Wizara ya Afya ya Tanzania imesema kuwa vikosi kasi vya afya vimetumwa
katika sehemu vya dharura, na kuongezea kuwa kasi ya kuenea kwa ugonjwa huo
imeanza kupungua.
No comments:
Post a Comment