WAWAKILISHI wa mashindano ya shirikisho nchini Tanzania, t
Timu ya Yanga ya Tanzania
imu ya Yanga jana imeshindwa kutamba ugenini baada ya
kupigwa bao moja na timu Mo bejaia ya Algeria. Timu ya Mo bejaia ilipata bao la ushindi dakika ya ishirini kipindi cha kwanza.
No comments:
Post a Comment