Sunday, June 19, 2016

MWINYI awataka waislamu kudumisha amani

Rais mstaafu  Alhaj Ali Hassan Mwinyi 
RAIS  mstaaafu wa awamu ya pili nchini Tanzania , Alhaj Ali Hassani Mwinyi amewataka waislamu kudumisha na kuienzi amani iliyopo nchini ili kupeusha machafuko kama yale yanayotokea mashariki ya kati.



Rais Mwinyi ametoa nasaha hizo mapema jana jijini Dar es salaam katika mashindano ya kuhidfadhi Qur’an ya Afrika mashariki yaliyoaandaliwa na Al Hikma Edecation Center ya Temeke ,jijini Dar es salaam 

No comments:

Post a Comment