![]() |
| Viwanja vya sabasaba Kilwa Road jijini Dar es salaam |
MAONESHO ya 38 ya sabasaba
yanaendelea katika viwanja vya mwalimu
Julius Nyerere Barabaraya Kilwa jijini Dar
es salaam ambapo viongozi na wananchi mbalimbali
wanajitokeza kuangalia bidhaa mbalimbali zinazozalishwa na makampuni ya ndani
na nje ya nchi.
Leo ni tarehe saba ambayo
yanaashiriwa uasisi wa sikukuu hiyo ambapo awali ilikuwa ni ya wakulima lakini
kutokana na mabadiliko ya kisera wakulima watakuwa wakisheherekea sikukuu ya
tarehe nane mwezi wa nane maarufu kama nanenane.
Kauli mbiu ya maonesho ya
sabasaba ya mwaka huu ni kuunganisha uzalishaji na masoko.

No comments:
Post a Comment