Monday, July 7, 2014

MASHINDANO ya usomaji wa Quran yafunguliwa Diamond jubilee



MASHINDANO ya usomaji wa Quran yanaanza leo katika ukumbi wa Diamond jubilee jijini Dar es salaam ya kiwa yanalengo la kuwafanya wanafunzi wa kiislamu kuhifadhi kitabu kitukufu cha Quran.

Mgeni rasmi wa ufunguzi wa mashindano hayo yaliyoandaliwa na umoja wa shule za kiislamu nchini ni mwenyekiti wa Taasisi ya The Islamic Foundation ya mjini Morogoro Sheikh Aref Mubaraka Nahdi

No comments:

Post a Comment