![]() |
Shamba la mpunga,Wami Lukindo, Mvomero mkoani Morogoro |
ZAIDI ya asilimia 90 ya wakulima wa zao la
mpunga nchini Tanzania hutumia mbegu za
kienyeji.
Hayo
yamebainishwa hivi karibuni na wakala wa mbegu za kilimo nchini (ASA) katika
utafiti wake kwa kushirikiana na Kampuni
ya maendeleo vijijini ( RLDC)uliokuwa na
lengo la kuandaa mwongozo wa kilimo bora katika mikoa inayolima zao la mpunga
kwa wingi.
Wakiongea na Mbiu ya Maendeleo jijini wataalamu toka wakala wa mbegu,wamesema kuwa,tafiti zinajuza kuwa,wakulima walio wengi wanakutana na changamoto za kukosa huduma
za ugani ,kuwa na uelewa mdogo juu ya matumizi ya mbegu bora na taaluma juu ya
kilimo boracha mpunga kwa ujumla.
Mbali na
hayo tafitio hiyo imebaini tatizo la wakulima wengi wanaoendesha kilimo cha umwagiliaji kukosa
taaluma ya utunzaji maji shambani,matumizi yam bole ana madawa.
No comments:
Post a Comment