![]() |
| Wachezaji wa Argentina wakishangilia ushindi |
ARGENTINA imejikatia tikiti
ya kufuzu kwa fainali yake ya kwanza tangu mwaka wa 1990 ambapo itachuana
Ujerumani.
Argentina ilikuwa imetoka sare tasa baada ya
muda wa kawaida na ule wa Ziada na hivyo kulazimu mechi hiyo kuamulia kwa
mikwaju ya penalti.Kipa wa Argentina Sergio Romero ndiye aliyekuwa nyota katika mechi hiyo baada ya kuokoa mikwaju miwili na kuipa Argentina Ushindi wa mabao 4-2 dhidi ya Uholanzi.

No comments:
Post a Comment