Thursday, July 10, 2014

RAIS Kikwete awataka wakuu wa mikoa kuhakikisha kuwa sekondari za kata zina maabara




Rais Jakaya Kikwete
RAIS Jakaya Mrisho Kikwete amewataka wakuu wa mikoa kuhakikisha kuwa shule za kata zinakuwa na maabara kwaajili ya wanafunzi kujifunza sayansi kwa vitendo.


Rais Kikwete amtoa agizo hilo mapema leo jijini Tanga katika ziara yake ya kukagua shughuli za maendeleo mkoani humo.

No comments:

Post a Comment