![]() |
| Wakulima wakiuza mahindi katika soko la Kibaigwa |
WAKULIMA mahindi
katika wa mji mdogo wa Kibaigwa
wilayani Kongwa mkoa wa Dodoma wameonesha hofu yao ya kushuka kwa uzalishaji wa
mahindi katika vijiji mbalimbali vinavyozunguka mji huo kutokana na kuongezeka
kwa ukame katika eneo hilo.
Wakiongea na Mbiu ya Maendeleo wakulma hao wamesema hali ya ukame inazidi
kuongezeka na uzalishaji wa mahindi unashuka kila mwaka hivyo ni vyema kwa
wataalamu wa kilimo sanjari na wale wa mazingira kutupia jicho hali hiyo ili
kunusuru maisha ya wananchi wa Kibaigwa na vijiji vyua jirani .
Wamesema, serikali imejenga soko
kubwa la mahindi katika mji huo mdogo , lakini hawana budi kutambua kuwa, ukame
unaosababishwa na mabadilikoya tabia nchi yanathiri sana uzalishaji wa zao la
mahindi.

No comments:
Post a Comment