Saturday, August 9, 2014

MAZUNGUMZO ya amani Sudan kusini yakwama

Viongozi wa Suan  wakiwa kwenyeb mazungumzo



MAZUNGUMZO ya amani baina ya makundi yanayopingana ya Sudan Kusini yamekwama hivyo kuondoa matumaini kwamba makubaliano yanaweza kufikiwa.

Serikali ya Sudan kusini na waasi wa upinzani wameshindwa kukutana katika mazungumzo yaliyopangwa kufanyika Addis Ababa alhamis kwa sababu ya shutuma za upinzani kuhusu taratibu za mashauriano hayo..
Kundi la upinzani limekataa kushiriki katika majadiliano siku mbili zilizopita likisema kuwa linataka kuzungumza moja kwa moja kumaliza ghasia kabla ya kujadili marek



No comments:

Post a Comment