Wednesday, August 13, 2014

WANASIASA waaswa kutogeuza bunge la katiba ni mali yao binafsi


Viongozi wa UKAWA wakiongea na waandishi wa habari

BAADHI ya watanzania wamesema kuwa wanasiasa wasigeuze mjadala wa katiba ni mali yao kwa kuweka vikwazo vya aina mbalimbali  ili matakwa yao yatimizwe.

Wakiongea na waandishi wa habari jijini Dra es salaama leo, baadhi ya wananchi walitoa maoni hayo kufuatia kauli iliyotolewa na viongozi wa umoja wa katiba ya wananchi maarufu kama UKAWA ya kufanya maandamano nchini nzima kama mfumo bunge la katiba halijasimamisha mjadala kwani ni kinyume cha sheria.
Wananchi hao wamefafanua kuwa, hivi karibuni watanzania wameshuhudia tambo za wanansiasa toka vyama vya upinzani na wale wa chama tawala kuhusu mchakato wa katiba  ilihali wote wameraminiwa na wananchi kuhakikisha kuwa katiba mpya inapatika ili kutimiza malengo yaliyokusudiwa ,

No comments:

Post a Comment