![]() |
| Meja wa manispaa ya Morogoro Amir Nondo |
HALMASHAURI ya wilaya ya Morogoro imebainisha
kuwa
kutotekelezeka kwa miradi ya maendeleo ya jamii kwenye
halmashauri hiyo kunatokana na serikali kuu kubadilisha
vipaumbele na bajeti zake.
kutotekelezeka kwa miradi ya maendeleo ya jamii kwenye
halmashauri hiyo kunatokana na serikali kuu kubadilisha
vipaumbele na bajeti zake.
Hayo yalisemwa na Afisa mipango wa halmashauri hiyo Heri
Kuria kwa niaba ya Mkurugenzi mtendaji wakati akijibu baadhi
ya changamoto zilizoibuliwa na Mtandao wa jinsia nchini TGNP
kwenye majumuisho ya uchambuzi wa bajeti na utekelezwaji wa
sera katika Halmashauri.
Awali mwakilishi wa TGNP Rebeka Mjema alitaja
baadhi ya
changamoto zilizobainika katika ufuatiliaji huo ukiwemo
mradi wa kilimo cha umwagiliaji Kiroka uliokwamia katikati
na kuamsha chuki baina ya wanachinchi.
Alisema sambamba na mradi huo kunamiradi mingine
imeutekelezwa njiani na haitolewi taarifa kwa wanachi hivyo
kuanza kuharibika jambo ambalo ni hasara kwa wananchi na
Taifa kutokana na fedha zao kupotea bila tija.
changamoto zilizobainika katika ufuatiliaji huo ukiwemo
mradi wa kilimo cha umwagiliaji Kiroka uliokwamia katikati
na kuamsha chuki baina ya wanachinchi.
Alisema sambamba na mradi huo kunamiradi mingine
imeutekelezwa njiani na haitolewi taarifa kwa wanachi hivyo
kuanza kuharibika jambo ambalo ni hasara kwa wananchi na
Taifa kutokana na fedha zao kupotea bila tija.

No comments:
Post a Comment