Monday, September 15, 2014

VANGAAL apania kurejesha kombe la Uingereza Old Trafford



Wachezaji wa Manchester United wakishangilia

KOCHA wa Manchester United Louis van Gaal amesema kuwa anapania kuirejesha kombe la ligi kuu ya Uingereza uwanjani Old Trafford.

Kocha huyo alizungumza punde baada ya Man United kusajili ushindi wake wa kwanza msimu huu .
United iliilaza QPR 4-0 uwanjani Old Trafford jumapili.

No comments:

Post a Comment