Thursday, September 4, 2014

WAKULIMA wilayani Rufiji waishauri serikali kutoa elimu ya mabadiliko tabia nchi


Wakulima wa mahindi bonde la mto Rufiji
SERIKALI imeshauriwa  kuanda mpango maalum wa kuwasaidia wakulima na wafugaji kuhusu  mabadiliko ya tabia nchi ili waweze kukabiliana na changamoto zinazowakabili katika sekta hizo mbili muhimu.

Wakiongea na wandishi wa habari wilayani Rufiji , mkoa wa  Pwani, hivi karibuni, wakulima na wafugaji wa   Ikwiriri wameeleza kuwa mvua zinazoendelea nchini katika maeneo ya Pwani zinatoauti kubwa na zile za kipindi cha nyuma , hivyo kama elimu haijatolewa kwa wakulima na wafugaji zinaweza kuwa na athari kwao


No comments:

Post a Comment