Wednesday, September 10, 2014

WANANCHI MISRI wafanya maandamano

Wananchi nchini Misri wakiandamana
WANANCHI  wa Misri kutoka matabaka tofauti wamefanya maandamano ya nchi nzima kupinga sera za kiuchumi za serikali inayoungwa mkono na jeshi la nchi hiyo na pia ukandamizwaji wa wananchi.

Maandamano hayo yamefanyika katika miji yote ya Misri, ambapo waandamanaji wamebainisha malalamiko yao kuhusu hali mbaya ya maisha na kuendelea kutoheshimiwa utu nchini humo. 
.
Kwa wiki kadhaa sasa harakati hiyo imekuwa ikiitisha maandamano ya kupinga serikali kulalamikia kubaguliwa wafanyakazi nchini Misri na pia serikali kushindwa kutoa huduma ipasavyo katika sekta mbalim










No comments:

Post a Comment