TIMU ya Gor Mahia ya Kenya itakabiliana na Azam
katika fainali ya Kombe la CECAFA.
Azam ilihitaji bao la dakika za mwisho
lililofungwa na Farid Musa kuilaza KCCA kutoka Uganda na kufuzu katika awamu ya
kilele cha kombe hilo.
Kilabu ya Azam
kutoka Tanzania imefuzu katika fainali ya ombe la Kagame CeCAFA baada ya
kuindoa KCCA ya Uganda kwa bao moja kwa bila katika mechi ya nusu fainali ya
pili iliochezwa katika uwanja wa kitaifa wa Dar-es-Salaam nchini Tanzania.
No comments:
Post a Comment