![]() |
wananchi nchini Mali wakishangaa katika eneo la tukio |
Wengi wanaamini picha hiyo nyeupe katika ukuta wa nje wa choo inamuonyesha mtu akisali na kuonekana kama ishara ya ujumbe wa Mungu.
Maafisa wa polisi wa kukabiliana na ghasia walipelekwa katika eneo hilo ili kudhibiti umati huo kwa kuwa watu wanapiga foleni usiku kucha kuona muujiza huo wa alama.
No comments:
Post a Comment