MAGUFULI akagua ujenzi wa barabara ya Tengeru
WAZIRI wa Ujenzi Dkt. John Pombe Magufuli (Mb) akisalimiana na baadhi ya
wakazi wa Patandi wakati akiwasili kwenye hafla hiyo ya kukagua ujenzi wa
barabara ya lami ya Sakina-Tengeru yenye urefu wa km 14.1 itakayojengwa kwa
njia nne pamoja na madaraja.
No comments:
Post a Comment