![]() |
| Papa Francis akiwasili nchini Uganda |
Papa
amelakiwa katika uwanja wa ndege wa Entebbe na Rais wa Uganda Yoweri Museveni.
Baadaye,
Papa anatarajiwa kuelekea ikulu ya Rais mjini Entebbe, kisha ahutubie maafisa
wa serikali na mabalozi humo ikuluni.
Baadaye
atawahutubia walimu.
Rais
wa Sudan Kusini Salva Kiir pia yumo nchini Uganda kukutana na Papa Francis.

No comments:
Post a Comment