![]() |
| Azam Fc |
Azam Fc, wakicheza katika uwanja wao wa Azam Complex, walipata
ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Kagera Sugar.
Mabao ya Azam yakifungwa na Kipre Tchetche na Shomari Kapombe,
huku Salum Kanoni wa Kagera akikosa mkwaju wa penati baada ya kipa wa Azam
Aishi Manula kuupangua.
Na
katika dimba la CCM Kirumba mjini Mwanza wenyeji Toto Afrikans walichapwa kwa
bao 1-0 dhidi ya Afrikan Sport ya Tanga.

No comments:
Post a Comment