![]() |
| Rooney |
Rooney
anauguza jeraha la kifundo cha mguu.
Fowadi
huyo mwenye umri wa miaka 30 hakuweza kumaliza mechi waliyotoka sare 1-1
ugenini Leicester City wikendi iliyopita na atahitajika kusubiri muda zaidi
kuchezea klabu hiyo mechi yake ya 500.
Meneja
Louis van Gaal amesema tatizo hilo ni mbaya

No comments:
Post a Comment