Saturday, December 5, 2015

WAISLAMU wandelea kupata vitisho nchini Marekani

RIPOTI mbalimbali zinaarifu kuwa, vitisho na machafuko dhidi ya Waislamu nchini Marekani vingali vinaendelea.

Shirika la habari la ISNA limelinukuu toleo la Jumamosi hii la gazeti la New York Times kuwa, ingawa taasisi za Waislamu wa Marekani zimelaani mashambulizi yaliyofanywa na kundi la kigaidi la Daesh katika jimbo la California, hata hivyo vitisho na machafuko dhidi ya Waislamu wa nchi hiyo vingali vinaongezeka.
Ripoti mbalimbali zinaarifu kuwa, vitisho na machafuko dhidi ya Waislamu nchini Marekani vingali vinaendelea. Shirika la habari la ISNA limelinukuu toleo la Jumamosi hii la gazeti la New York Times kuwa, ingawa taasisi za Waislamu wa Marekani zimelaani mashambulizi yaliyofanywa na kundi la kigaidi la Daesh katika jimbo la California, hata hivyo vitisho na machafuko dhidi ya Waislamu wa nchi hiyo vingali vinaongezeka.


No comments:

Post a Comment