Mahakama
hiyo iliyokuwa mjini Arusha Kaskazini mwa Tanzania ilikuwa ikisikiliza kesi za
watuhumiwa wakuu wa mauaji hayo ya kimbari.
Sherehe
za siku tatu zimefanyika kuadhimisha kufungwa kwa mahakama hii.
Waajiriwa
wa sasa na wa zamani, mahakimu na mashahidi walikusanyika pamoja kuhudhuria
sherehe hizo mjini Arusha
Baadhi
ya matukio katika sherehe hizo yalikuwa ni pamoja na uzinduzi wa eneo la
kubarizi al maarufu kama uwanja wa Amani, na kumbukumbu ya wahanga wa mauwaji
ya kimbari

No comments:
Post a Comment