![]() |
| Bi Suzan Chekani akikagua mazingira katika soko la Magomeni |
KATIKA kutekeleza agizo la Rais John Magufuli linalowataka viongozi na watendaji wote wa serikali kuadhimisha siku ya Uhuru nchini kwa kufanya usafi wa mazingira , manispaa ya Kinondoni inaendelea na zoezi hilo katika maeneo mbalimbali katika manispaaa hiyo.
Mkurugenzi wa Idara
ya Tawala za Mikoa Dodoma Bi.Susano Chekani akiwa ameongoza na
viongozi
mbalimbali kutoka Manispaa ya Kinondoni leo amefanya ziara ya
kuangalia hali ya usafi ya soko la Magomeni, Manispaa ya Kinondoni , jijini Dar es salaam.
kuangalia hali ya usafi ya soko la Magomeni, Manispaa ya Kinondoni , jijini Dar es salaam.

No comments:
Post a Comment