KUKOSEKANA kwa mitaji na elimu sahihi ya
kuzalisha na kuhudumia miti kwaajili ya mbao , kuni, matunda , mapambao na
vivuli ni moja n ya mambo yanayopchangia watanzania wengi kutojishughulisha na
kilimo cha miti.
Hayo
yamebainishwa na wadau wa misitu mjini Kisarawwe
mkoa wa Pwani katika mazungumzo na Mbiu Media kuhusu utunzaji na uhifadhi wa mazingira
kupitia sekta ya misitu
Wameema kuwa
watanzania wengi hawana ari ya kutaka kujifunza na kujihusisha na kilimo cha
miti kutokana na kutaraji mafanikio ya hatraka huku wakisahau kuwa misitu ni
mali.

No comments:
Post a Comment