![]() |
| Wakulima wakiandaa miche ya korosho kwa kupanda shambani |
Hayo
yamebainishwa hivi karibuni na wakulima wa zao hilo mkoani katika mahojiano na
Mbiu Media wakati wakileleza sababu za kushuka kwa uzalishaji wa zao hilo.
Wakulima
hao wamefafanua kuwa, bado uwekezaji wa kutosha wa kuwapatia elimu ya
kuwajengea uwezo wakulima ipo chini hali inayochangia jitihada za wakulima
kupungua .
Imeelezwa kuwa katika msimu wa
mwaka 2013/14, zao la korosho lilikuwa la pili kwa kuingiza fedha za kigeni
nchini, huku zao la tumbaku likishika nafasi ya kwanza.

No comments:
Post a Comment