![]() |
| Askari wa malawi akipoke rushwa |
ASKARI wawili wa kike nchini Mlawi wenye cheo cha
koplo wamenaswa na Kamera wakichukua rushwa toka kwa dereva wa pikipiki jirani na
duka la vifaa vya ujenzi eneo la Limbe.
Kwa mujibu wa Gazeti la daily Times, askari hao wawili
walikamatwa na kamera maalum ya Tv Times
katika eneo tajwa hapo juu.
Askari hao hawakutumia kitabu cha risiti cha serikali aambacho fedha zote hupelekwa katika
akaunti namba moja, badala yake walichukua fedha hizo na kuziweka moja kwamoja
mifukoni mwao..
Naibu msemaji wa polisi nchini Malawi, Bwana Thomeck Nyaude, amelalamikia
hicho ambapo amesema kuwa watumia wabarabara wanaongezea kasi ya utoaji

No comments:
Post a Comment