JITIHADA za suala la walimu wa serikali kusafiri bure
zinaendelea mpaka vyombo vyote vya usafiri kukubali kufanya hivyo.
Hayo yamebainishwa mapema
leo na mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda wakati akizungumza na
waandishi wa habari jijini Dar es salaam.
Mheshimiwa Makonda
amefafanua kuwa, walimu watasafiri bure katika usafiri wa gari moshi za
Pugu-Stesheni na Ubungo kwa vitambulisho
ambavyo viko katika utaratibu wa daladala.

No comments:
Post a Comment