![]() |
Amesema hayo siku
moja tu baada ya Afrika ya kusini kutwaa tena nafasi ya taifa lenye uchumi mkubwa barani
Afrika.
Nigeria
ilikuwa imeshikilia nafasi hiyo kwa miaka miwili baada ya kutathmini upya
uchumi wake.
Afrika
Kusini iliipita Nigeria baada ya kutumiwa kwa viwango vya sasa vya
ubadilishanaji wa fedha dhidi ya dola ya Marekani.
Sarafu
ya rand ya Afrika Kusini imeimarika pakubwa ilhali naira ya Nigeria imeshuka
sana.
Kwa
sasa, thamani ya uchumi wa Afrika Kusini ni $301bn (£232bn) nao uchumi wa
Nigeria $296bn.

No comments:
Post a Comment