UBOVU
wa miundo mbinu ya umwagiliaji na
bei juu z a pembejeo za kilimo ni
miongoni mwa changamoto zinazowakabili wakulima wa vitunga wa malolo, Lumuma
na Kitati wilayani Kilosa na Mpwapwa.
Hayo yameabainishwa mwishoni mwa wiki na wakulima wa zao la vitungu wa vijiji vya
Malolo na Lumuma wilayani Kilosa sanjari na wale wa vijiji vuya Mboli na Kitati
wilayani Mpwapwa wakati wakiongea na
mbiu ya maendeleo katika vijiji hivyo.
Wamesema kuwa, ili uzalishe mazao yenye ubora na kukidhi
viwango vya walaji ni lazima utumie pembejeo za kilimo za kisasa saanjari na uwepo wa
miundo mbinu ya umwagiliaji inayokidhi viwango.
Kutokana kuboresha miundo mbinu ya umwagiliaji katika
skimu hizo pamoja na Taasisi za fedha kuwakopesha wakulima wadogo wenywe mitaji
midogo ili kumudu gharama za uzalishaji
No comments:
Post a Comment