WANANCHI
wa wilaya ya Kilombero, mkoani Morogoro wamezipongeza Taasisi za KIVEDO na Plan Inetrnational zilizopo Ifakara kwa
jitihada zao za kuhifadhi mazingira na kuwezesha vikundi vidogovidogo na wakulima kwa kutoa elimu na fedha ili
kupambana na uharibifu wa mazingira.
Wakiongea na wanahabari katika kivuko cha mto Kilombero
mapema leo,wavuvi wanaofanyashughuli zao katioka mto Kilombero wameeleza kuwa,
Taasisi hizo zimejitahidi kuhifadhi mazingira na vyanzo vya maji vya mtioo
Kilombero jambo liliksaidi na kupunguza uharibifu wa mazingira .
Wamesema badom jitihada za makusudii zinahitajika za utoaji
wa elimu ikiwa ni pamoja na kuwa na semina na warsha za mara kwa mara kwa
wavuvi, wakulima , wafanyabiashara wa samaki, mbao nab mazao yote ya maliasili.
No comments:
Post a Comment