![]() |
| Mfanyabiashara wa machungwa soko la Buguruni jijini Dar es salaam |
WAKULIMA zao
la machungwa toka mikoa ya TANGA na Pwani wameendeleza kuikumbusha serikali
kuhakikisha kuwa viwanda vya usindikaji wa matunda vinaongezwa ili kuongeza
kipato cha wakulima.
Wakiongea na Mbiu ya Maendeleo
katika soko la Buguruni jijini Dar es salaam leo , wakulima aho wamesema hali
ni mbaya kutokana na machungwa mengi kuoza hali inayosababishwa na uwezo mdogo
wa wafanyabiasha wa kununua matunda hayo.
Wamesema wamrkuwa wakilalamikia serikali
kuwahamasisha wawekezaji kuwekeza katika viwanda vya usindikaji wa matunda ili
kupunguza umaskini wa kipato sanjari na kuongeza ajira

No comments:
Post a Comment