Sunday, January 17, 2016

KITUO cha Utafiti Naliendele Mtwara chapongezwa


Kituo cha Utafiti wa Kilimo Naliendele Mtwara

WANANCHI    wa mikoa ya Lindi na Mtwara wamekipongeza  kituo cha utafiti wa mazao cha Naliendele kwa jitihada kubwa inazozifanya  kwa lengo la kuboresha kilimo cha mazao  nchini.

 Wakiongea na  mbiu ya Maendeleo wilayani  Masasi  mkoa wa  Mtwara , baaadhi ya wakulima wamesema kuwa jitihada inayofanywa na kituo ni kubwa pamoja kuna changamoto kubwa kwa wakulima kushindwa kutumia vyema tafiti hizo kwaaajili ya kujikomboa kiuchumi.

No comments:

Post a Comment