![]() |
| Mbwana Samatta |
SERIKALI ya Tanzania
imemzawadia Ardhi mchezaji bora wa Afrika kwa wachezaji wa nyumbani Mbwana Samatta ardhi kufuatia uhodari wake uliomwezesha kuondoka na
tuzo hiyo na kuisaidia TP Mazembe kutwaa kombe la vilabu bingwa Afrika.
Amepewa kipande cha ardhi
eneo la Kigamboni, Dar es Salaam na serikali kupitia wizara ya ardhi na nyumba.
Hafla hiyo pia
ilihudhuriwa na wadau wa michezo nchini Tazania wakiwemo waziri wa michezo Nape
Nnauye na Thomas Ulimwengu ambaye ni mchezaji mwenza wa Samatta.

No comments:
Post a Comment