SERIKALI imekanusha
madai yanayotolewa na baadhi ya wabunge wa upinzani kuwa Kampuni ya Uchimbaji wa madini ya dhahabu ya mkoani
Shinyanga haijalipa kodi toka mwaka 1947.
Naibu
Waziri wa Nishati na Madini Setven
Juliasi Masele amesema hayo leo bungeni mjini Dodoma wakati akihitimisha
makadirio ya wizara yak e kufuatia tuhuma mbalimbali za ukwepaji wa kodi
zinazofanywa na baadhi yab makampuni ya uchimbaji hapa nchini toka kwa wabunge wa upinzani.
Amesema
kuwa, Kampuni ya uchimbaji wa dhahabu ya
ya Mwadui ya mkoani Shinyanga toka ianzishwe mpaka sasa imelipa kodi ya
shilingi bilioni 178 .
Amesema
mbali na kulipa kodi serikali kuu , kampuni hiyo ya Mwadui imelipa
kodi katikaHalmashauri ya Kahama kama shauri inavyoitaka kila uchimbaji wa kampuni ya madini nchini kulipa ushuru wa kiwango maalum katika Halmashauri husika
No comments:
Post a Comment