Akizungumza kwenye tathmini ya
ushawishi na utetezi mjini iliyofanyika mjini Morogoro, Katibu mkuu wa
chama cha watu wenye ualbinoTanzaia (TAS) Ziada Ally alisema watu wengi wenye
tatizo hilo wanaathirika kwa kutokuwa na uwezo.
Akitaja baadhi ya chamngamoto zinazo wakabili na mahitaji yao zaida kuwa ni pamoja na vilinda miili yao kama vile mafuta kofia bila kusahau huduma za matibabu kutokana wengi wao kutokuwa na uwezo wa kukabiliana na changamoto hizo .
Akitaja baadhi ya chamngamoto zinazo wakabili na mahitaji yao zaida kuwa ni pamoja na vilinda miili yao kama vile mafuta kofia bila kusahau huduma za matibabu kutokana wengi wao kutokuwa na uwezo wa kukabiliana na changamoto hizo .
Katika mahitaji hayo alisema kila
wilaya kuweka mikakati ya kutenga bajeti ya jamii hiyo na kukumbushana
kila wanapokaa vikao wajaribu kuweka msisitizo juu ya walemavu hao.
No comments:
Post a Comment